Siasa Yetu

Habali zakuaminika Kutoka ndani ya CHAMA  CHA Demokrasia na maendeleo CHADEMA kinaendelea kuvuna na kuwavutia wasanii wa kizazi KIPYA na MAIGIZO ambapo sasa kimevuna WASANII wanne  wa muziki wa kizazi kipya  alimarufu  Bongofleva na Filamu  wasanii hao wanatalajiwa  kutangazwa  kuhamia chama hicho wiki hii Wasanii  hao majina yao nikama iftayo LADY JAYDEE AFANDE SELE  MKOLONI NA JB

No comments:

Post a Comment